Mmoja wa wajasiriamali na mmiliki wa shule ya sekondari ya wasichana ya La Miriam,Ndugu Joel Mnyuku akiwa mbele ya lango la kuingilia shuleni hapo,shule hii ni miongoni mwa shule za bweni za kisasa kwa wanafunzi wa kike hapa nchini iliyofunguliwa hivi karibuni ipo Mkundi,katika Manispaa ya Morogoro
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya La Miriam
Am a journalist presenting different issues of education in abood media, also Teaching is my passion. I love learning and growing with my students..they are the best! Every day is an exciting new adventure. I have the best job in the world!
rafikielimu@ymail.com
No comments:
Post a Comment