Sunday, December 4, 2011

WANAFUNZI MBEYA WAWALILIA WALIOKUFA KWA UKIMWI


Mwanafunzi wa shule ya msingi sisimba akiimba kwa uchungu sana siku ya ukimwi duniani kuwakumbuka wale wenzetu wote waliofariki kwa ugonjwa hatari sana wa ukimwi Tanzania

Mungu awasamehe dhambi zao wale wote walio tangulia na azirejeshe roho za marehemu mahala pema peponi

                                                        AAMEEN!!

Picha kwa hisani ya mbeya yetu

No comments: