Mbunge
wa Kilwa Kaskazini atuhumiwa kwa kudanganya taifa kuhusiana na sekta
ya elimu: Umoja wa wanafunzi wa elimu ya juu waliotoka wilaya ya
Kilwa,Mkoa wa Lindi,wameingia katika mvutano mkubwa na Mbunge wa Kilwa
Kaskazini, Murtaza Mangungu(CCM) wakimtuhumu kulidanganya taifa
kuhusiana na suala zima la kusaidia sekta ya elimu. Umoja huo umesema
kuwa mbunge huyo amekaririwa akisema kuwa amewapatia kiasi cha sh
milioni 4.5 ili kusaidia kufundisha wanafunzi wa sekondari wilayani humo
jambo ambalo walidai kuwa si kweli( Chanzo cha Habari: Tanzania Daima
22 Novemba 2011)
DKT. MWAMBA ATETA NA BALOZI WA JAPAN
1 hour ago
No comments:
Post a Comment